❞ كتاب MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU ❝  ⏤ قسم البحوث التربوية في جامعة الإسلام

❞ كتاب MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU ❝ ⏤ قسم البحوث التربوية في جامعة الإسلام

Kila sifa njema ni zake Mwenyezi
Mungu Mola wa viumbe vyote, sala na
amani ziwe juu ya Imamu wa Mitume,
Nabii wetu Muhammad, na jamaa zake,
na Masahaba wake wote.
Ama baada:_
UISLAMU:_ ni kushuhudia kuwa
hapana Mola apasae kuabudiwa kwa
haki ila Mwenyezi Mungu mmoja, na
Muhammad (rehema na amani za
Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) ni
mjumbe wa Mwenyezi Mungu,
(kushuhudia) kwa moyo, na kwa ulimi,
na kwa viungo.




Na (huo Uislamu) unajumuisha
kuamini nguzo sita za Imani kwa
kutekeleza nguzo tano za Uislamu, na
nguzo mbili za Ihsani.
Na (huo Uislamu) ni risala ya mwisho
miongoni mwa risala za Mwenyezi
Mungu, ambayo ameiteremsha
Mwenyewe Allah kwa mwisho wa
manabii wake na mitume wake, Mtume
Muhammad bin Abdillah (rehema na
amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu
yake).
Na (huo Uislamu) ndiyo dini ya haki
ambayo Mwenyezi Mungu hatakubali
dini nyingine isiyokuwa uislamu, na
hakika ameifanya Mwenyezi Mungu dini
ya uislamu kuwa nyepesi na rahisi,
hakuna ugumu au uzito ndani yake, wala
tabu, hakuwalazimisha (Allah) wenye
kuingia ndani ya dini hiyo mambo
wasiyo yaweza, na wala hakuwakalifisha
kwa yale wasiyoweza.



Na ni dini ambayo msingi wake ni
TAUHID (kumpwekesha Mwenyezi
Mungu katika ibada), na alama yake ni
ukweli, na imezungukwa na uadilifu, na
ndiyo usimamizi wa haki, na roho yake
(dini hii) ni huruma, na ni dini tukufu
ambayo huwaongoza waja (watu)
kwenye kila jambo lenye manufaa katika
dini yao na dunia yao, na
huwatahadharisha kutokana na kila lenye
madhara katika dini yao na maisha yao,
Na ni dini ambayo Mwenyezi Mungu
amerekebisha kwayo itikadi na tabia, na
akarekebisha kwayo maisha ya duniani
na Akhera, na akaziunganisha kwayo
nyoyo zilizo tafautiana, na matamanio
mbali mbali, akazisafisha kutokana na
sifa za upotofu, na akazielekeza kwenye
haki, na akaziongoza kwenye njia iliyo
nyooka.
Na ni dini iliyo sawa iliyo kamilika
isiyokuwa na kasoro katika habari zake




zote, na hukumu zake zote, haikuelezea
ila ukweli na haki, na wala haikuhukumu
ila kwa kheri na uadilifu, miongoni mwa
itikadi sahihi, na vitendo vilivyo sawa,
na tabia bora, na desturi za hali ya juu.
Na ujumbe wa Uislamu unalengo la
kutimiza mambo yafuatayo:
~ Kuwajulisha watu mola wao na
muumba wao kwa majina yake mazuri
ambayo hakuna mwenye majina hayo
isipokuwa yeye tu, na sifa zake za hali
ya juu ambazo hakuna mwenye
kufanana nae katika sifa hizo, na
vitendo vyake vya hekima ambavyo
hana mshirika kwenye vitendo hivyo,
na kustahiki kwake (majina hayo, na
sifa hzo, na vitendo hivyo) ambako
hana mshirika ndani yake.
قسم البحوث التربوية في جامعة الإسلام - ❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU ❝ ❱
من كتب إسلامية باللغة السواحلية كتب إسلامية بلغات أخرى - مكتبة كتب إسلامية.

نبذة عن الكتاب:
MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU

Kila sifa njema ni zake Mwenyezi
Mungu Mola wa viumbe vyote, sala na
amani ziwe juu ya Imamu wa Mitume,
Nabii wetu Muhammad, na jamaa zake,
na Masahaba wake wote.
Ama baada:_
UISLAMU:_ ni kushuhudia kuwa
hapana Mola apasae kuabudiwa kwa
haki ila Mwenyezi Mungu mmoja, na
Muhammad (rehema na amani za
Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) ni
mjumbe wa Mwenyezi Mungu,
(kushuhudia) kwa moyo, na kwa ulimi,
na kwa viungo.




Na (huo Uislamu) unajumuisha
kuamini nguzo sita za Imani kwa
kutekeleza nguzo tano za Uislamu, na
nguzo mbili za Ihsani.
Na (huo Uislamu) ni risala ya mwisho
miongoni mwa risala za Mwenyezi
Mungu, ambayo ameiteremsha
Mwenyewe Allah kwa mwisho wa
manabii wake na mitume wake, Mtume
Muhammad bin Abdillah (rehema na
amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu
yake).
Na (huo Uislamu) ndiyo dini ya haki
ambayo Mwenyezi Mungu hatakubali
dini nyingine isiyokuwa uislamu, na
hakika ameifanya Mwenyezi Mungu dini
ya uislamu kuwa nyepesi na rahisi,
hakuna ugumu au uzito ndani yake, wala
tabu, hakuwalazimisha (Allah) wenye
kuingia ndani ya dini hiyo mambo
wasiyo yaweza, na wala hakuwakalifisha
kwa yale wasiyoweza.



Na ni dini ambayo msingi wake ni
TAUHID (kumpwekesha Mwenyezi
Mungu katika ibada), na alama yake ni
ukweli, na imezungukwa na uadilifu, na
ndiyo usimamizi wa haki, na roho yake
(dini hii) ni huruma, na ni dini tukufu
ambayo huwaongoza waja (watu)
kwenye kila jambo lenye manufaa katika
dini yao na dunia yao, na
huwatahadharisha kutokana na kila lenye
madhara katika dini yao na maisha yao,
Na ni dini ambayo Mwenyezi Mungu
amerekebisha kwayo itikadi na tabia, na
akarekebisha kwayo maisha ya duniani
na Akhera, na akaziunganisha kwayo
nyoyo zilizo tafautiana, na matamanio
mbali mbali, akazisafisha kutokana na
sifa za upotofu, na akazielekeza kwenye
haki, na akaziongoza kwenye njia iliyo
nyooka.
Na ni dini iliyo sawa iliyo kamilika
isiyokuwa na kasoro katika habari zake




zote, na hukumu zake zote, haikuelezea
ila ukweli na haki, na wala haikuhukumu
ila kwa kheri na uadilifu, miongoni mwa
itikadi sahihi, na vitendo vilivyo sawa,
na tabia bora, na desturi za hali ya juu.
Na ujumbe wa Uislamu unalengo la
kutimiza mambo yafuatayo:
~ Kuwajulisha watu mola wao na
muumba wao kwa majina yake mazuri
ambayo hakuna mwenye majina hayo
isipokuwa yeye tu, na sifa zake za hali
ya juu ambazo hakuna mwenye
kufanana nae katika sifa hizo, na
vitendo vyake vya hekima ambavyo
hana mshirika kwenye vitendo hivyo,
na kustahiki kwake (majina hayo, na
sifa hzo, na vitendo hivyo) ambako
hana mshirika ndani yake. .
المزيد..

تعليقات القرّاء:

 Kila sifa njema ni zake Mwenyezi
Mungu Mola wa viumbe vyote, sala na
amani ziwe juu ya Imamu wa Mitume,
Nabii wetu Muhammad, na jamaa zake,
na Masahaba wake wote.
Ama baada:_
UISLAMU:_ ni kushuhudia kuwa
hapana Mola apasae kuabudiwa kwa
haki ila Mwenyezi Mungu mmoja, na
Muhammad (rehema na amani za
Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) ni
mjumbe wa Mwenyezi Mungu,
(kushuhudia) kwa moyo, na kwa ulimi,
na kwa viungo.

 


Na (huo Uislamu) unajumuisha
kuamini nguzo sita za Imani kwa
kutekeleza nguzo tano za Uislamu, na
nguzo mbili za Ihsani.
Na (huo Uislamu) ni risala ya mwisho
miongoni mwa risala za Mwenyezi
Mungu, ambayo ameiteremsha
Mwenyewe Allah kwa mwisho wa
manabii wake na mitume wake, Mtume
Muhammad bin Abdillah (rehema na
amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu
yake).
Na (huo Uislamu) ndiyo dini ya haki
ambayo Mwenyezi Mungu hatakubali
dini nyingine isiyokuwa uislamu, na
hakika ameifanya Mwenyezi Mungu dini
ya uislamu kuwa nyepesi na rahisi,
hakuna ugumu au uzito ndani yake, wala
tabu, hakuwalazimisha (Allah) wenye
kuingia ndani ya dini hiyo mambo
wasiyo yaweza, na wala hakuwakalifisha
kwa yale wasiyoweza.

 

Na ni dini ambayo msingi wake ni
TAUHID (kumpwekesha Mwenyezi
Mungu katika ibada), na alama yake ni
ukweli, na imezungukwa na uadilifu, na
ndiyo usimamizi wa haki, na roho yake
(dini hii) ni huruma, na ni dini tukufu
ambayo huwaongoza waja (watu)
kwenye kila jambo lenye manufaa katika
dini yao na dunia yao, na
huwatahadharisha kutokana na kila lenye
madhara katika dini yao na maisha yao,
Na ni dini ambayo Mwenyezi Mungu
amerekebisha kwayo itikadi na tabia, na
akarekebisha kwayo maisha ya duniani
na Akhera, na akaziunganisha kwayo
nyoyo zilizo tafautiana, na matamanio
mbali mbali, akazisafisha kutokana na
sifa za upotofu, na akazielekeza kwenye
haki, na akaziongoza kwenye njia iliyo
nyooka.
Na ni dini iliyo sawa iliyo kamilika
isiyokuwa na kasoro katika habari zake

 


zote, na hukumu zake zote, haikuelezea
ila ukweli na haki, na wala haikuhukumu
ila kwa kheri na uadilifu, miongoni mwa
itikadi sahihi, na vitendo vilivyo sawa,
na tabia bora, na desturi za hali ya juu.
Na ujumbe wa Uislamu unalengo la
kutimiza mambo yafuatayo:
~ Kuwajulisha watu mola wao na
muumba wao kwa majina yake mazuri
ambayo hakuna mwenye majina hayo
isipokuwa yeye tu, na sifa zake za hali
ya juu ambazo hakuna mwenye
kufanana nae katika sifa hizo, na
vitendo vyake vya hekima ambavyo
hana mshirika kwenye vitendo hivyo,
na kustahiki kwake (majina hayo, na
sifa hzo, na vitendo hivyo) ambako
hana mshirika ndani yake.



حجم الكتاب عند التحميل : 139.4 كيلوبايت .
نوع الكتاب : pdf.
عداد القراءة: عدد قراءة MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU

اذا اعجبك الكتاب فضلاً اضغط على أعجبني
و يمكنك تحميله من هنا:

تحميل MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU
شكرًا لمساهمتكم

شكراً لمساهمتكم معنا في الإرتقاء بمستوى المكتبة ، يمكنكم االتبليغ عن اخطاء او سوء اختيار للكتب وتصنيفها ومحتواها ، أو كتاب يُمنع نشره ، او محمي بحقوق طبع ونشر ، فضلاً قم بالتبليغ عن الكتاب المُخالف:

برنامج تشغيل ملفات pdfقبل تحميل الكتاب ..
يجب ان يتوفر لديكم برنامج تشغيل وقراءة ملفات pdf
يمكن تحميلة من هنا 'http://get.adobe.com/reader/'

المؤلف:
قسم البحوث التربوية في جامعة الإسلام - Department of Educational Research at the University of Islam

كتب قسم البحوث التربوية في جامعة الإسلام ❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU UISLAMU ❝ ❱. المزيد..

كتب قسم البحوث التربوية في جامعة الإسلام